Tuesday, October 2, 2012

BASI LA DAR EXPRESS IMEPATA AJALI YA KUUNGUA MOTO LEO

 



Gari ya dar express imepata ajali ya kuungua moto leo asubuh ktk njia panda ya dar arusha,tanga (segera)hakuna mtu aliye jeruhiwa wala kupoteza maisha pia hakuna mzigo ulioweza kuokolewa na wengi waliokuwamo kwenye gari hilo waikuwa ni wanafuzi gari ilifika eno hilo ikiwa inatoa moshi kwa bahati nzuri trafiki aliyekuwa zamu eneo hilo aliweza kuona tukio na kuamulu abilia kushuka dakika chache baadae gari ilipamba moto hadi tunaondoka eneo hilo hakuna atuayoyote iiyochukuliwa lisaa limoja baadae niliambiwa gari ya zima moto kutokea kolongwe ndio ilifika eneo hilo picha na Samweli Mikuza

No comments:

Post a Comment