Monday, December 17, 2012

RAIS DK. SHEIN TAWALA ZA MKOA NA SERIKALI ZA MITAA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya

Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la

Mapinduzi,(Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa),katika utekelezaji wa

kazi za Wizara hiyo katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini

Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Watendaji katika Wizara ya Nchi  Ofisi ya Rais na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,(Tawala za Mikoa na Serikali za

Mitaa).wakiwa katika Mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa

Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed

Shein,(hayupo pichani) katika utekelezaji wa kazi za  Wizara hiyo

katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan

Othman,Ikulu.]
Watendaji katika Wizara ya Nchi  Ofisi ya Rais na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,(Tawala za Mikoa na Serikali za

Mitaa).wakiwa katika Mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa

Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed

Shein,(hayupo pichani) katika utekelezaji wa kazi za  Wizara hiyo

katika Ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na Ramadhan

Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment