Wednesday, September 12, 2012

Muuaji wa Mwangosi afikishwa mahakamani

Siku kadhhaa baada ya jeshi la polisi kupata shinikizo kutoka kwa wadau mbali mbali wa habari nchini leo limeamua kumfikisha askari wake katika mahakama ya mkoa wa Iringa kwa tuhuma za kumuua mwandishi wa habari wa kituo cha Chanel Ten Daudi Mwangosi.

Askari aliyefikishwa mahakamani ametambuliwa kuwa ni Pacificus Cleophase Simon(23) mwenye namba za kipolisi G2372 na kesi imeahirishwa hadi septemba 26 mwaka huu

2 comments:

  1. Karibuni kwenye blog yetu uweze kupata habari mbalimbali za kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni kwa maendeleo ya Taiafa letu

    ReplyDelete
  2. hamuogopi kuweka ushahidi wa mauaji kwenye blog yenu ila nzuri nimeipenda

    ReplyDelete