Mkazi wa Dar es Salaam akiwa amebeba mzigo wa viroba vilivyotupwa ambavyo vinanunuliwa katika kiwanda hicho |
Meneja msaidizi wa Kiwanda hicho Bw, Simon Haule akionyesha namna kiwanda hicho kinavyosafisha taka chafu za plastic kwa kutumia maji ya asili na yasiyo na kemikali zozote. |
No comments:
Post a Comment