Sunday, September 23, 2012

MWEKEZAJI AILALAMIKIA NEMC

Mkurugenzi wa Kiwanda cha TASIPA kinachotengeneza Viroba Bw, Lain Ding, akiongea na waandishi wa habari juu ya Kutaarifiwa kufungiwa kwa Kiwanda chake na mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Heche Sagute ambaye alikuja ofisini kwake na kuacha Bussiness card na kuwaambia kuwa Kiwanda kimefungwa.

Mkazi wa Dar es Salaam akiwa amebeba mzigo wa viroba vilivyotupwa ambavyo vinanunuliwa katika kiwanda hicho

Meneja msaidizi wa Kiwanda hicho Bw, Simon Haule akionyesha namna kiwanda hicho kinavyosafisha taka chafu za plastic kwa kutumia maji ya asili na yasiyo na kemikali zozote.

No comments:

Post a Comment