Katibu mkuu wa Wizara ya mambo ya Nje Bw, John Haule akifungua warsha ya siku mbili ya APRM
inayoaza leo jijini Dar es Salaam ambapo amesema Lengo la Warsha hiyo ni kuona jinsi ambavyo mpango wa Utekelezaji
wa Tathmini ilivyofanyika chini ya
APRM.Amesema kuwa Mpango huo uimegusa maeneo mbalimbali serikalini na inalengo
la kuwapa Elimu wawakilishi mbalimbali wa Serikali
|
No comments:
Post a Comment