Tuesday, November 20, 2012

TAASISI YA WAHARABU YAZINDULIWA TANZANIA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akikata utepe wakati alipozindua  Taasisi ya Waarabu Tanzania kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Novemba 18,2012. Kushoto Ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mecky Sadic.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Sheikh Noordin Kishk  baada ya kuzindua Taasisi ya Waarabu Tanzania kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es alaam Novemba 18,2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments:

Post a Comment