Monday, November 12, 2012

TIGO YATOA VIFAA VYA NISHATI KWA AJILI YA KUCHAJIA SIMU

Meneja mradi wa kampuni ya simu Tigo Bw.Yaya N'djore (katikati) akiongea na waandishi wa habari  kuhusu kuwapatia wateja wa tigo vifaa vya nishati ya jua (SOLA)wanaoishi mbali na vyanzo vya umeme wateja watakao faidika na huduma hiyo ni wale wanaomiliki maduka ya tigo pesa vifaa hivyo vitakuwa vinapatikana kwenye maduka ya tigo kwa bei ya shilingi 50,000(kushoto)Afisa Masoko wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Jacqueline Nnunduma(kulia)Afisa mahusiano msaidizi kampuni ya simu ya tigo Bi:Mariamu Mlangwa, mkutano huo ulifanyika kwenye Hotel ya southern sun jijini Dar es Salaam

Afisa Masoko wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Jacqueline Nnunduma (kushoto))Meneja mradi wa kampuni ya simu Tigo Bw.Yaya N'djore (katikati)Afisa mahusiano msaidizi kampuni ya simu ya tigo Bi:Mariamu Mlangwa(kulia)wakionyesha vifaa vya nishati ya jua (SOLA)kwa waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa mkutano huo

Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria katika mkutano huo

No comments:

Post a Comment