| Akitetra jambo na baadhi ya watu! |
| Akihojiwa na mmoja wa waandishi wa habari! |
| Mhadhiri Maarufu wa Kiisilamu Sheikh Habibu Mazinge (suti nyeusi) akimlaki Sheikh Ponda mara baada ya kuachiliwa huru. |
| Ponda akizungumza na waandishi wa habari. |
| Tutatoa tamko! |
| Kuna mengi yamejitokeza na wale waliokuwa wakiogopa sasa wamepata somo! |
| Safari ikaanza! |
| Akapewa ulinzi tena! |
| Akaingia kwenye gari! |
No comments:
Post a Comment