Thursday, May 9, 2013

USIPITWE,MARA BAADA YA HAKIMU KUGONGA NYUNDO NA KUSEMA PONDA ISSA PONDA YUPO HURU,HALI KISUTU IKAWA HIVI

Akiwa na furaha baada ya hukumu yake kumalizika leo katika mahakama ya kisutu jijini dar es salaam
Akitetra jambo na baadhi ya watu!
Akihojiwa na mmoja wa waandishi wa habari!
Mhadhiri Maarufu wa Kiisilamu Sheikh Habibu Mazinge (suti nyeusi) akimlaki Sheikh Ponda mara baada ya kuachiliwa huru.

Ponda akizungumza na waandishi wa habari.
"Kuna utaratibu umeandaliwa na jumuiya na taasisi za kiisilamu Tanzania tutawaita tutazungumza kwa pamoja lakini kikubwa ninachoweza kusema kwamba tumeshuhudia uonevu na dhulma tunayofanyiwa waisilamu nanyie ni mashuhuda hapa leo." Alisema.
Tutatoa tamko!
Kuna mengi yamejitokeza na wale waliokuwa wakiogopa sasa wamepata somo!

Safari ikaanza!


Akapewa ulinzi tena!

Akaingia kwenye gari!

No comments:

Post a Comment