Waziri wa Katiba na Sheria
Mh, Mathias Chikawe akiwa katika Ziara ya Kutembelea Majengo ya Taasisi
ya Mafunzo ya Uanasheria kwa vitendo( LAW SCHOOL OF TANZANIA) ambapo aliridhika na maendeleo ya Mradi huo na kutaka uongozi wa Mradi huo
kutunza mazingira.
|
No comments:
Post a Comment